Swahili year 10

Created
Best for asynchronous learning and homeworkAssign in student-paced mode
Best for live in-class or video conferencing lessonsStart teacher-led lesson
Preview as student
Worksheet Image

SWAHILI YEAR 10 END OF SEMESTER EXAMS SOMA MAKALA HAYA KISHA UJIBU MASWALI Siti amelelewa karibu na bahari huko Zanzibar. Alizoea kucheza ndani ya maji na kaka yake, lakini, tofauti na kaka yake, yeye kamwe hakujifunza kuogelea. Kaka yake alipokuwa akijifunza kuogelea, Siti alijishughulisha na mambo mengine. Anasema “sisi tunaishi kwenye kijiji cha wavuvi, hivyo maji ni maisha yetu. Kila siku, watu hutumia majahazi kusafiri na kuenda kwenye visiwa vilivyo jirani; ni wachache wanaotumia meli kwani ni ghali”. Kwa hiyo, mwaka uliopita, alipokuwa na miaka 24 aliamua kujifunza kuogelea. Alijiunga na kundi la marafiki wanawake na wakafundishwa kuogelea. Mwalimu wao alikuwa ni gwiji wa kuogelea kutoka visiwani Zanzibar. Ilimchukua madarasa 15 kuweza kuogelea. Alijifunza kuelea, kuogelea na kuokoa wengine kwa kutumia vijiti na madebe. Alifanya mazoezi mengi kila wiki na sasa anaweza kuogelea vizuri sana kwa zaidi ya mita 200. Tangu kuwa mwogeleaji mzuri sana ameamua kuwa mwalimu wa kuogelea na kuwafundisha ujuzi huu wasichana wengine kijijini kwake. Anaamini kwamba kila mvulana na kila msichana anastahili kuweza kuogelea.

Worksheet Image

(a) Siti hakupata kujifunza: ……………………………………………………… (1) (b) Ajira ya wanavijiji wengi ni: ……………………………………………………… (1) (c) Vyombo viwili vya usafiri: ……………………………………………………… na ……………………………………………………… (2) (d) Umri alipojifunza kuogelea: ……………………………………………………… (1) (e) Muda uliohitajika kujifunza: ……………………………………………………… (1) (f) Anajua kuokoa kwa kutumia: ……………………………………………………… ……………………………………………………… (2) (g) Anaweza kuogelea umbali wa zaidi ya: ……………………………………………………… (1) (h) Kazi mpya ya Siti is: ……………………………………………………… (1) . Translate the following sentences into Swahili (a) The teacher is strict with his students. (2) ............................................................................................................................................................. ........................................................................................................................ ......................................... .................................................................................................................................................................. ......................................................................... (b) Yesterday I visited my uncle in Mombasa town. (2) ............................................................................................................................................................. ........................................................................................................................ ......................................... .................................................................................................................................................................. ......................................................................... (c) When we saw the visitor, we welcomed her. (2) ............................................................................................................................................................. ........................................................................................................................ ......................................... .................................................................................................................................................................. .......................................................................... (d) Why are the trains always so unreliable? (2) ............................................................................................................................................................. ........................................................................................................................ .........................................

Worksheet Image

.................................................................................................................................................................. .......................................................................... (e) If you come tomorrow, we shall telephone mother. (2) ............................................................................................................................................................. ........................................................................................................................ ......................................... ......................................................................................................................... Translate the following passage into English(25marks) Mkutano maalumu wa Halmashauri ya Jiji ulifanyika jana kuzingatia shida ya upungufu wa nyumba katika miji mikubwa. Upungufu huo si wa nyumba zenyewe kama ujenzi bali ni upungufu wa makao kwa ajili ya watu wasio na uwezo wa kununua au kupanga mahali pa kuishi. Tuchukue mifano ya miji kama Nairobi, Mombasa au Dar es Salaam. Idadi ya watu katika miji hii inaongezeka kila mwaka. Wengi wa hao wanaohamia miji mikubwa hutoka vijijini, wanakuja mjini kutafuta maisha ya raha na starehe. Si wote wanaofanikiwa katika lengo hili. Wengi wasiokuwa na pato zuri inawabidi wakae katika hali ngumu ya maisha. Hukodi chumba kidogo kwenye nyumba, au hata hukaa na watu wawili au watatu wengine katika chumba kimoja. Ripoti katika magazeti ya leo inasema kwamba mkutano wa Halmashauri ya Jiji jana uliendelea kwa muda wa masaa matatu. Mwishowe, Halmashauri iliamua kuwasaidia watu wasio na makao ya heshima katika miji mikuu. Watu wanaopanga vyumba na kukaa watatu kila chumba ndio wataosaidiwa mwanzo. Watasaidiwa kwa njia ya vyama vya ushirika. Halmashauri inapendekeza kwa serikali kuundwa kwa vyama vya ushirika. Kila chama kitapewa fedha ya kununua nyumba ambazo zitapangishwa kwa watu hawa. Kodi itakayolipwa itaingizwa kwenye mfuko maalumu wa kuilipia ununuzi wa nyumba. Baada ya miaka kadha, nyumba ile itakuwa imenunuliwa na wapangaji wenyewe. Hii ni njia moja ya kuwasaidia watu wawe na nyumba zao wenyewe

Worksheet Image

Translate the following passage into Swahili (25marks) . Do you remember the first time you went somewhere that you enjoyed a great deal? Well I remember my first trip to a place called ‘Funland’. I went with my parents and younger sister. I am normally lazy and hate waking up early in the morning, but on that day I woke up before anyone else in my family. I rushed everyone to get ready so we would be the first people to arrive there. We had breakfast. I had some eggs, bread and a glass of cold milk. My little sister had porridge and my parents chose coffee and fruits. When we arrived I was amazed at how beautiful it was. First there were huge cups that went around in circles. We climbed into the cups and we all laughed with happiness while riding these. Then there were trains which went up and down, and no one knew when they would stop. Later on, we rode the racing cars and made them bump into each other. At the end of the day my feet were painful, but I didn’t care because it had been the best day of my life. I cannot wait to go back there soon! When I told my classmates about the trip, one of them said, “Oh yes! When we visit ‘Funland’, we will immediately go to the scary mountains and fast cars. We will not waste our time on the baby rides.” I feel happy just imagining myself at ‘Funland’ during our next school trip.

Worksheet Image

SOMA MAKALA HAYA KISHA UJIBU MASWALI YAFUATAYO Siku zote alitaka kuenda kutembea na kuzurura mitaa aliyokuwa akikaa baba yake zamani. Baba yake alikuwa akifanya kazi Nairobi miaka ya 70. Alihama na kurudi kwao Machakos miaka mitano kabla ya Esther kuzaliwa. Tangu siku hizo hakuwa akija Nairobi ila mara moja moja tu; hasa kwa shughuli zake za ukulima. Alikuja asubuhi na kurudi jioni. Hivyo, Nairobi aliyokuwa akiijua hasa ni hiyo ya zamani. Ndiyo aliyomwelezea Esther, aliyekolezwa hamu sana kuitembelea na sasa alikuwa na ndoto ya kuishi na kuanza kazi Nairobi. Ndiyo, kazi anayo, huamka alfajiri siku sita kwa wiki na kujisukuma garini macho yangali yamejaa usingizi. Grace alisema ataibadili zamu mwezi wa pili. Imeshapita miezi mitatu sasa na bado anaendelea hivyo hivyo. Esther hakuwaambia kitu waajiri wake wala hakuwakumbusha kwa sababu naye alikuwa na mpango wake. Akishamaliza miezi sita, atabadili zamu awe anaingia kazini saa nane mchana hadi saa nne usiku. Atakuwa akisomea usekretari asubuhi. (a) Kwa nini baba yake Esther anaifahamu Nairobi ya zamani tu?(1)

Worksheet Image

.............................................................................................................................................................................................................. ................................................................... (b) Unafikiri alipolelewa Esther ni Machakos mashambani ama mjini?(1) .............................................................................................................................................................................................................. ................................................................... (c) Kwa nini baba yake Esther alikuwa akienda mjini kwa siku tu?(1) .............................................................................................................................................................................................................. ................................................................... (d) Esther anapata hisia gani kuhusu Nairobi ya miaka ya 70?(1) .............................................................................................................................................................................................................. ................................................................... (e) Esther anajiona akiishi wapi siku zijazo?(1) (f) Tunajuaje kwamba Esther hapendi kazi yake ya sasa? Toa maelezo mawili.(2) .............................................................................................................................................................................................................. ................................................................... .............................................................................................................................................................................................................. ................................................................... (g) Nini kilitokea kuhusu zamu ya Esther?(1)

Worksheet Image

.............................................................................................................................................................................................................. ................................................................... (h) Esther ana mipango gani kwa miezi sita ijayo? Toa maelezo mawili.(2) .............................................................................................................................................................................................................. ................................................................... .............................................................................................................................................................................................................. ...................................................................